Jance Medics πŸ‡¦πŸ‡±

Address

Jance Medics πŸ‡¦πŸ‡±

Bukoba
Tanzania
Mwanza Mwanza
Tanzania - 41205

Social links
j**********@g*****.com +255*********8239
Contact Information

Phone

(+255) *********8239

Email

j**********@g*****.com
Timings
Monday 10:00 AM - 07:00 PM
Tuesday 10:00 AM - 07:00 PM
Wednesday 10:00 AM - 07:00 PM
Thursday 10:00 AM - 07:00 PM
Friday 10:00 AM - 07:00 PM
Saturday 10:00 AM - 07:00 PM
Sunday Closed

UPDATES

UKE MKAVU SIO TATIZO

By Jance Max

uke-mkavu_17626284078aQ5y7.jpeg

Uke mkavu siyo tu tatizo la kimwiliβ€” ni reflex ya kibiolojia inayotokana na mabadiliko ya ndani ya mfumo wa mwanamke... Ipo hivi, unyevu wa uke unasimamiwa na homoni ya estrogen, progesterone, na oxytocin.... β€”Homoni zinazohusiana moja kwa moja na hisia, hamu ya tendo na mzunguko wa damu kwenye...

Click here to read more
AFY NI MTAJI

By Jance Max

afy-ni-mta_1760784445aK9JJz.jpeg

.Kuna Kipindi Unaweza Ukakaa Ukaangalia Na Kutafakari Maisha Yako, Ukajisemea...πŸ‘‡Β  > "Katika Umri Huu Nilionao Mbona Sina Kitu!" Ngoja Nikuambie Kitu, "Afya Uliyonayo Ni Kitu Kikubwa Kuliko Hicho Kitu Unachofikiria Hauna". Umenielewa..tembelea website yetu πŸ‘ Kama upo Active ndani ya Jukwaa hil...

Click here to read more
JIFUNZE KUIMARISHA UJASIRI WAKO πŸ†

By Jance Max

jifunze-ku_1760215233dgNfGM.jpeg

.Siri ya Kuwa Mwanaume Rijali, Jifunze Mbinu na Namna ya Kuimarisha Ujasiri wako, na Afya njema ya Uzazi.🩺 JE..!? Nifanye nini kujiimarisha bila madawa hatari ya kuboost za nguvu za kiume...? Naenda kukupatia majibu ya maswali yako ndani ya Sekunde 60 zijazo.. Ni kwanini nimekuandikia elimu hii...

Click here to read more
AFYA TIPS

By Jance Max

afya-tips_17589598560hO8vt.jpeg

Pata elimu ushauri na dondoo za afya kila siku na DR AROSΒ  Uliza maswali na wasiliana nasi kila sikuΒ 

Click here to read more
VITAMIN

By Jance Max

vitamin_1760787346359gdd.jpeg

Unakosa hamu ya kula? Miguu imekuwa dhaifu? Mgongo kuuma Unakosa hisia? Hali hiyo inaweza kuwa ishara ya upungufu wa Vitamini B1 (Thiamine)Β  kirutubisho muhimu kwa afya ya neva, misuli, na akili yako.... Upungufu wa Vitamini B1 unaweza kusababisha... β€” Kukosa hamu ya kula β€” Udhaifu wa miguu...

Click here to read more
SIRI YA MIHOGO

By Jance Max

siri-ya-mi_1760786314114WDW.jpeg

..Wanaume wengi hufikiria nguvu za kitandani zinapatikana haraka kwa kutafuna nazi, karanga au mihogo dakika chache kabla ya tendo..😁 Ukweli mchungu ni huu...πŸ‘‡ Nguvu zako hazitoki kwenye sahani ya harakaβ€”zinatoka kwenye maandalizi ya akili (psychological readiness), Mzunguko mzuri wa damu na c...

Click here to read more
MBEGU ZA MATIKTI

By Jance Max

mbegu-za-m_1760785720RtZUzM.jpeg

.*Ukiyafahamu Haya Hutozitupa TENA Mbegu za Matikiti...🩺* Je..? Unazitupa Mbegu za Matikiti? Kwanini? Kila unapokula tikiti maji, mbegu zake huonekana kama taka zisizofaa... Je, unajua mbegu hizi zina uwezo wa kuboresha afya yako ya uzazi na kukuongezea nguvu..?  Elimu hii itakufungua macho kw...

Click here to read more
MBEGU ZA MATIKTI

By Jance Max

mbegu-za-m_1760785231tlKjg5.jpeg

.*Ukiyafahamu Haya Hutozitupa TENA Mbegu za Matikiti...🩺* Je..? Unazitupa Mbegu za Matikiti? Kwanini? Kila unapokula tikiti maji, mbegu zake huonekana kama taka zisizofaa... Je, unajua mbegu hizi zina uwezo wa kuboresha afya yako ya uzazi na kukuongezea nguvu..?  Elimu hii itakufungua macho kw...

Click here to read more
.UKWELI MCHUNGU AMBAO HUWEZI KUAMBI POPOTE PALE.....

By Jance Max

ukweli-mch_17593997710sDlp5.jpeg

.UKWELI MCHUNGU AMBAO HUWEZI KUAMBI POPOTE PALE..... Kila siku unashawishiwa kununua "Rijali package πŸ“¦", mwingine anakwambia "kiboko ya vibamia", mwingine anakudanganya eti kikombe cha kahawa fulani kitakurudishia uume wako nguvu zote...πŸ˜„ Lakini ukweli ni huu....πŸ‘‡ β€” Upungufu wa nguvu za kiu...

Click here to read more
KUMWAGA MAPEMA KABLA YA MAANDALIZI SIO UGONJWA

By Jance Max

kumwaga-ma_1759399438Ap4VOM.jpeg

.Kumwaga mapema wakati wa maandalizi sio ugonjwa, na wala huitaji dawa yoyote ya dukani… Kitaalamu, hali hii hujulikana kama Premature Ejaculation (PE)... Ni kama kengele ya mwili wako kukwambia, β€œKuna kitu hakipo sawa kwenye mfumo wa hisia zako.” Mara nyingi, chanzo chake hakipo kwenye mwili tu...

Click here to read more
UMUHIMU WA KITUNGUU MAJI

By Jance Max

umuhimu-wa_1759144860tgn54G.jpeg

.*Siri ya Vitunguu Maji, Vitunguu Swaumu na Tangawizi, Kwenye Vita Dhidi ya Uzito kupitia kiasi (Obesity)* Mwili wako umebeba mabilioni ya seli za mafuta... Lakini je, unajua ni wapi zinajificha zaidi na kwa nini..? *Mafuta ya tumbo hujikusanya kwa njia mbili kuu* πŸ‘‡ 1. Mafuta chini ya ngozi.....

Click here to read more
AFYA TIPS

By Jance Max

afya-tips_1759071101ZEMIeM.jpeg

*UTI Sugu, PID Sugu = USUGU WA VIMELEA DHIDI YA DAWA , Stop Usimeze Antibiotic Tena Kabla Hujasoma Ukweli Huuβ€¦πŸ‘‡* Umeshawahi kujiuliza kwanini unapewa antibiotics leo, unapata nafuu kidogo, kisha baada ya muda kidogo tatizo linajirudia tena....? Unatembea kutoka duka moja la dawa hadi jingine, k...

Click here to read more
Welcome to Jance Company

By Jance Max

This is Jance Company website created by Jance Max. Jance Company falls in BLOGS line of business. You can visit us offline at our office located at : Bukoba, Mwanza, Mwa...

Click here to read more

Similar websites

Enter your email to get exciting updates from us!

×
×

Contact Us

Have any queries ? Feel free to Contact us

Contact Us Now

This site was designed with Websites.co.in - Website Builder

IMPORTANT NOTICE
DISCLAIMER

This website was created by a user of Websites.co.in, a free instant website builder. Websites.co.in does NOT endorse, verify, or guarantee the accuracy, safety, or legality of this site's content, products, or services. Always exercise caution do not share sensitive data or make payments without independent verification. Report suspicious activity by clicking the report abuse below.

© 2026 BY Aros Cyber
3032 views
WhatsApp Google Map

Safety and Abuse Reporting

Thanks for being awesome!

We appreciate you contacting us. Our support will get back in touch with you soon!

Have a great day!

Are you sure you want to report abuse against this website?

Please note that your query will be processed only if we find it relevant. Rest all requests will be ignored. If you need help with the website, please login to your dashboard and connect to support

;